MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Ester Kiama amesema kuwa, kila akimt azama Mwan amama Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ a napolamba madili ya matangazo huwa anakosa usingizi kwa kujiuliza yeye anapataje na siyo Mbongo?
Ester aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, madili makubwa anayoyapata Zari yanatakiwa kuwafanya mastaa wa Bongo wajifunze na wajiulize maswali mengi ya kwa nini yeye tu na siyo wao!
“Kiukweli fursa anazopata Zari, kuna wakati mwingine zinanichanganya sana kwa sababu ninajiuliza mbona sisi hatuwezi?” alisema Ester.
Ester aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, madili makubwa anayoyapata Zari yanatakiwa kuwafanya mastaa wa Bongo wajifunze na wajiulize maswali mengi ya kwa nini yeye tu na siyo wao!
“Kiukweli fursa anazopata Zari, kuna wakati mwingine zinanichanganya sana kwa sababu ninajiuliza mbona sisi hatuwezi?” alisema Ester.
No comments:
Post a Comment